Maru Maru Hotel kuanza maandlizi ya Kirismas

 

                 Na, Fatma Rajab




Meneja msaidizi wa Hoteli ya  maru maru Philip Mwakimu  amesema wameanza na shughuli ya uandaaji wa keki ya krismasi ambapo ni desturi yao kila ifikapo mwezi mmoja kabla ya kufika krismasi.

Ameyasema hayo wakati  akizungumza na waandishi wa habari katika maandalizi ya keki ya kirsimas katika hotel ya Marumaru iliyopo mji mkongwe wilaya ya mjini.

 Amesema dhamira kuu ya kufanya sherehe hizo ni kuendeleza utamaduni walio jiwekea kila mwisho wa mwaka pamoja na kujitangaza  kibiashara na mataifa mbali mbali, pamoja na kuwa kivutio kwa watalii wanaotembelea nchini. 

 Nae mpishi mtendaji wa hoteli hiyo SK FIRDOUSH amesema katika mchanganyiko wa keki hiyo kunavitu mbali mbali ambavyo vinachanganywa katika keki hiyo ikiwemo tundadamu,papai,korosho,zabibu,cheza, na matunda mengine, ili kutengeneza kuwa na ladha nzuri.

kwa upande wake  mpishi msaidizi chef  Mohammed Abdallah amesema  keki hio  ina uzito wa kilo 75 na inatosheleza zaidi ya watu mia 


1 comment:

ZSTC yaridhiishwa na Chuo cha Mafunzo Katika Uimarishaji wa Zao la Karafuu

  Na. Mwandishi Wetu. Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) Nd. Soud Said Ali amesema Shirika la Biashara Z...